Please wait....
Be Part of our Chama

Request Details

Habari / Makala Mpya Zaidi

ZIARA YA MWANASHERIA MKUU TUNDU LISSU (MB) ULAYA NA MAREKANI Mwanasheria Mkuu wa Chama Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika nchi mbili za Ulaya na Marekani kuanzia Jumatatu, Januari ...

Soma Zaidi

Habari, Taarifa, Matamko na Matukio

27 January 2019

ZIARA YA MWANASHERIA MKUU TUNDU LISSU (MB) ULAYA NA MAREKANI

Mwanasheria Mkuu wa Chama Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika nchi mbili za Ulaya na Marekani kuanzia Jumatatu, Januari 28, mwaka huu...

16 January 2019

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tumepokea kwa masikitiko makubwa sana taarifa za tukio la shambulizi linalohusishwa na ugaidi, lililofanyika...

23 Oct 2018

TARIME NI WATU MAJASIRI, TUMIENI UJASIRI HUO KUDAI HAKI ZENU NA DEMOKRASIA YA TAIFA LETU-MBOWE.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana tarehe 22 Octoba 2018 aliongoza kikao cha ndani cha...

16 Oct 2018

MHE. GODBLES LEMA AITAKA SERIKALI KURUHUSI WACHUNGUZI WA KIMATAIFA

Waziri kivuli wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Goodbles Lema mamepma leo amitaka Serikali kuruhusu wachunguzi kutoka nje na kwa kufanya...

15 Oct 2018

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA

Ndugu waandishi, Zipo taarifa potofu zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Aikaeli Mbowe na Katibu Mkuu Dr.Vincent...

23 Oct 2018

MWENYEKITI CHADEMA TAIFA KUOINGOZA UZINDUZI WA SERA YA CHADEMA TOLEO LA 2018

Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe akizindua Sera ya CHADEMA toleo la Mwaka 2018, ghafla hiyo ya uzinduzi...

16 October 2018

NAIBU KATIBU MKUU BARA JOHN MNYIKA ATUWA KASANDA WILAYA YA KAKONKO MKOA WA KIGOMA

Naibu Katibu Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Kibamba Mhe. John Mnyika akiwa amefatana na Mgombea Ubunge Jimbo la Buyungu pamoja na viongozi mbalimbali...

12 July 2018

KESI INAYOWAKABILI VIONGOZI WAKUU NA BAADHI YA WABUNGE KATIKA MAHAKAMA YA KISUTU

Kesi namba 112 ya mwaka 2018 inayowakabili viongonzi wakuu na Wabunge saba wa CHADEMA imeendelea katika Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu leo 10/7/2018...

07 July 2018

KAMATI KUU YA CHADEMA YAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM

Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inakutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam katika kikao chake cha kawaida chini ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Mhe. Freeman Mbowe..

21 June 2018

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mnamo Juni 18, mwaka huu, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kinyume kabisa na Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Mwaka 2016, Kanuni ya 99 fasili ya 5, lilizuia kuwasilishwa mezani kwa Hotuba ya Bajeti Mbadala ya Kambi Rasmi ya Upinzani...

21 June 2018

KWA KAULI YA DKT. MWAKYEMBE, SERIKALI IONESHE MFANO ISIFUNGIE TENA CHOMBO CHA HABARI

Kesi namba 112 ya mwaka 2018 inayowakabili viongonzi wakuu na Wabunge saba wa CHADEMA imeendelea katika Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu leo 10/7/2018...

18 June 2018

HOTUBA YA BAJETI MBADALA YA KAMBI YA UPINZANI ILIYOKATALIWA BUNGENI LEO HII

Mheshimiwa Spika,kwa niaba ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Fedha na Mipango, Mheshimiwa Halima James Mdee, naomba...

 
Umri



0

Wabunge
0
Madiwani
0
Wataalam
0

Wanachama

0